Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.
Mifano ya gesijoto[edit | edit source]
Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.
Athari[edit | edit source]
Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.