Hot-air balloon burner.jpg

Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.

Mifano ya gesijoto[edit | edit source]

Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.

Athari[edit | edit source]

Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.

Usomaji zaidi[edit | edit source]

Mabadiliko ya tabianchi

http://en.wikipedia.org/wiki/Greenhouse_gas

FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 0 pages link here
Impact 258 page views
Created Agosti 17, 2011 by Christopher Sam
Modified Agosti 7, 2023 by StandardWikitext bot
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.